Wednesday, August 14, 2013

XTRAORDINARY BOOOY!

huyu nni moja kati ya wasanii wa Tanzania anaekuja kwa kasi  sana, x-boy akitamba na ngoma zake kadhaa ikiwemo I WANNA GET MONEY,NA TOM BOY, anaiwakilisha vyema sanaa ya muziki wakizazi kipya kwa muziki wenye swaggs za kutosha.msanii huyu mwenye makazi yake jijini DSM amefunguka na Raceshynner production akizungumzia ngoma yake mpya ambapo ataito hivi karibuni, he is hot.....! fanya kupakua mzigo huu ili ujue anacho fanya huyu jamaaa

DOWNLOAD! FREE!    www.hulkshare.com/raceshynnerproduction

 mmetoa maachooo,ex-boy akiwa na msanii mwenzake katika harakati za kurekodi.jina kapuni simtaji!



 x-boy pamoja na kim wakisubili kupanda on stage katika moja ya tamasha hapa bongo!
 
 x bizzy akiwa katika snap shorts mbili tatu pande za soweto south Afrika mapema mwaka huu


 extraordinary boys, hapa x-bizzy akiwa na mpacha kim pamoja na wana wengine kibao katika snap!

www.hulkshare.com/raceshynnerproduction

No comments:

Post a Comment