paserepa town
wale wakali wa miondoko ya kizazi kipya kutoka pande za kijanja za Rock city town,pasiansi hawa hapa ten ana ngoma yao kali kabisa inayoena kwa jina la PASEREPA TOWN, kisiwa cha burudani.humu utakutana na wakali kama JUSTO,LOGIC,DIZZLE,D-SATO, na K-STAR.... ebaneeeh mzigo! umefanyika ndani ya studio za K-records chini ya producr matata sana hapa nchii Tanzania si mwingine namzungumzia LOLLIPOP aka LOLLY MWAH!
CLICK HAPA: kisha andika paserepa town ku..
download !
www.hulkshare.com/raceshynnerproduction
No comments:
Post a Comment