''tulianza kama utani lakini leo tunashukuru jina linakua,tunawatngaza wasanii chipukzi,mamodel,designers,wafanya biashara na wana hakati toautitofauti,pi tunaweka vituko kadha kwenye blogyetu ili watu waenjoy,ttunatoa matangazo kadhaa ila faid bado haijaonekana saana coz ndo kwanza tunaanza" liaema tonito the shynner(anthony bujukano) mmiliki mkuu wa RSP.
RSP-MANAGER
RSP-ASSIS.MANAGER
hivi karibuni utaweza kuuona uongozi mzima wa raceshynner production!
tutakuonesha cabinet zote na wakuu wakila idala,tutumie kazizako na pics kama msanii au mwanarakati,au mtu unaepend burudani nasi tutafanyia kazi
kupitia 0764388984! carlsonbuju@gmail.com
is the shynning guy
ReplyDelete