Sunday, November 3, 2013

Friday, September 27, 2013

C Pwaa andani ya chereko na cross border therapy!

raceshynner production

msanii anaeiwakilisha vyema sanaa ya muziki wa bongo crank,C.Pwaa akitamba na  ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la chereko , pia mwakani anatarajia kuachia ngoma inayokwenda kwa jina la Cross border therapy akiwashirikisha wasanii kutoka magharibi na kusini mwa afrika ambao ni.HHP-SOUTH AFTRICA na D-BLACK wa Ghana huyu hapa!


kudownload mp3 free!
www.hulkshare.com/raceshynnerproduction

Monday, September 23, 2013

Dom town kwawaka moto,D-Pema VsTherapist! new Stars in the Game.wamekinukisha hapa,Dom town sand up!

raceshynner production Presents


d-pema


d-pema ni MC kutoka studio za AJ records anaetmba kwa ngoma kadhaa za harakati ikiwemo "love",na nyingne kibao amaeamua kufunguka kuhusu game yake sasa kua yuk serious na wakongwe wajipange kumuachia nafsi hususan kwa wasanii wa dom town


dowload mp3 free!
www.hulkshae.com/raceshynnerproduction


Therapist

Ni dom  town rapper,kutoka studi zaGRORY RECORDS, anaeiwakiisha vyema sanaa ya hip o musicc,so dom kama wajipange hivi coz huyu jamaa yuko hot mbaya.fanya kudownload ndoma yake free kupitia
dowload mp3 free!
www.hulkshae.com/raceshynnerproduction

Mshindi wa Redd's Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa!



 Mshindi wa Redd's Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa,katikati akipungia mkono hadhira iliyo hudhuria,  mara baada ya kutangazwa mshindi huku kushoto ni pili Latifah Mohamed na kulia ni mshindi wa tatu Clara Bayo.



 happiness,aliweza pia kuibuka mshindi wa miss photogenic katiya mataji matano madogo yaliyoshindaniawa raundi hii!

                                                          lady jide akifanya yake

                                                      
                                                                  dah
                           mamiss watano katika vipaji maalum,kama miss personality,photognic n.k
                                                                   gari ya mshindi
                                                              

                                                  mamiss wakicheza

Friday, September 20, 2013

Mensen selekta amuachia Bonz! its after paper

shynner45@gmail.com
ni kijana mpya anaekuj katika game,kutoka studi za defetality,chini ya producer wake mkali.Mensen Selekta .msanii huyu (BONZ)anatalajia kuachia ngoma yake september hii mwishoni,inayoenda kawa jina la after paper, fanya kutembelea www.hulkshare/raceshynnerproduction.kudownload mzigo huu!
kijana huyu ni mbayaaaaa!mastaa wakae mkao wa kustaaf!
raceshynnerpoduction.blogspot.con

Wednesday, September 18, 2013

shynner aachia mix tape ! vol 1

raceshynner pics

pata mix tape ya tonito the shynner buure kupitia link yetu ya www.hulkshare.com/raceshynnerproduction amabapo umo ndani utakutana na ngoma kadhaa hatarii kasa za radha aina zote ! shynne ambae kwa sasa ameamua kusuuma mziki wake kupitia matandao ametoa mix tape hi enye ngoma kumi kama zawadi kwa ashabiki wak, sasa time ndo hii,,fanya u download now!


Saturday, September 14, 2013

J Criss,Davin P &Benai ndani ya SIKUONI! its hoooot!

raceshynner

J Criss,Davin P &Benai,wakali wa miondoko ya kizazi kipya hapa Bongo wakitamba na goma zao kadhaa lakini sasa wakijumuikanndani ya track moko iitwayo Sikuoni,mkono hatari kabisa ukiwa na radha adimu ya muziki wa hapa nyumbani hawahapa.

J Criss in Rock city
Davin P
free mp3download!
www.hulkshare.com/raceshynnerproduction
Raceshynner pics@2013

wait for Mo-muzic once again! in Basi nenda

yule kijana hatari kwenye miondiko ya muziki wa kizazi kipya hapa nchini,Mo-Music, ndanni ya mwezi huu anatarajia kuachia ngoma yake mpya kabisa inayoenda kwa jina la Basi nenda.hebu fanya kuidownload kupitiaa
www.hulkshare.com/raceshynnerproduction
mo music in cape town!
mo music in Rock city

mo music in ustake kujua!

Raceshynner pics!

T nock-Nionyeshe Njia



raceshynner production inamdondoshakwenu tena,yule mkaliwa R&B Tanzania ....T-NOCK katika ngoma yake mpya iitwayo NIONESHE NJIA mzigo huu hapa fanya kuushusha kisha uone nacho zungumzia!

Friday, August 23, 2013

Rock city inatisha kwa harakati ,unamjua ZERO!

                                                              raceshynner pics- zero
                                                         ZERO
rockcity imeonekana kua na vipaji hataari sana asa kwa upande wa HIPHOP,ambapo mapinduzi katika game yana fanyika kila siku,huyu anakwenda kwa tatoo ya Zero,ni mwana harakati wa mapinduzi ya HIPHOP katika jiji la mwanza , sasa yuko mbioni kukamilisha Mixtape yake,ambapo mtaa unaisubili kwa ham kubwa sana pamoja na wasanii wenzake! ndani ya mixtape hii kutakua na vichwa kibao vikali kutoka mwanza na Tanzania kwa ujumla, tuchake hulkshare upate kudownload buure kabisa ngoma za ZERO!

ZERO

unawajua wamiliki wa Raceshynner production? hawa hapa!

 ''tulianza kama utani lakini leo tunashukuru jina linakua,tunawatngaza wasanii chipukzi,mamodel,designers,wafanya biashara na wana hakati toautitofauti,pi tunaweka vituko kadha kwenye blogyetu ili watu waenjoy,ttunatoa matangazo kadhaa ila faid bado haijaonekana saana coz ndo kwanza tunaanza" liaema tonito the shynner(anthony bujukano) mmiliki mkuu wa RSP.

                                               RSP-MANAGER


                                                             RSP-ASSIS.MANAGER
             SHYNNER


 hivi karibuni utaweza kuuona uongozi mzima wa raceshynner production!
tutakuonesha cabinet zote na wakuu wakila idala,tutumie kazizako na pics kama msanii au mwanarakati,au mtu unaepend burudani nasi tutafanyia kazi
kupitia 0764388984! carlsonbuju@gmail.com

pata video na picha za chadema wakiwa katika maandamano ya kumkataa diwani jijini mwanza!


















hawa ni wafuasi wa chadema makipinga kuendelea kuwepo kwa meya,aliyevuliwa uanachama na kuamia chama cha mappinduzi,diwani  huyo wa ilemela aliye julukana kwa jina la matata,alikua na kibarua kizito ambapo wafuasi hawa wali
mtaka ajiuzulu kwani hawamtambui!

tazama wazee hawa wanavyo yarudi!

cheka ongeza siku na raceshynner production!

chek video ya ugomvi wa paka na nyoka hapa!

ulishawahi kujiuliza kuhusu,paka na panya,paka na mbwa ila hukuwahi kufikili kuhusu paka na nyoka majibu yako hapa.nsikuchoshe jionee mwenyewe!

Friday, August 16, 2013

Hatma ya Bifu ya Mo-muzic na WAkubwa wa jiji hiyahapa!

                                                          mo muzic

MO MUZIC msanii amabae alikua kundi la wakubwa wa jiji,ameeleza kua yeye hayuko wakubwa wajiji tena na angependa aeleweke kwa mashabiki wake kwamba,han beef lolote n wakubwa wajiji ispokua ni kazi za muziki ndo humbadilihs msanii kutoka sehemu moja kwenda nyingine,msanii huyu ambae sasa anasemekana kua ndie msanii bora wa miondoko ya R&B kwa jiji la mwanza, ameonesha shauku yake ya kutaka kudhihilisha hilo kwa kujiandaa kuachia pini jipya ambalo limefanyika ndani ya K,RECORDS,chini ya producer hatariii LOLLY POP,litakalo achiwa ivi karibuni pini hili ni supriseeeeee!
 RSP pics@2013
www.hulkshare.com/shynner-kudownload nyimbo za mo music!

MB Mwingine huyu hapa!

ni mmoja kati ya wasanii wakali sana wa hiphop hapa Tanzania hasa katika mkoa wa mwanza, ni msanii mwenye malengo kwani anataka uifikisha game ya muziki wa bongo mbali sana, data ameweza kufanya kazi kadhaa ikiwemo
  • unapenda ninni-mo records-q the don (producer)
  • HOLIDAY FEAT.SHYNNER NA SPIDERMAN(E PRODUCTION)
  • BIZZ KAMA STAR FEAT,SHYNNER(VUNJA RECORDS) DABLE K PRODUCER
pamoja na ngoma nyingine kibao kali sana! sasa yuko kwenye haraakati ya kufungua studio yake mwenyewe ... hakika ni mwanzo mzuri kwa mwanamuziki mgeni katika game
 free kupata ngoma za MB man( Data  ) DOWNLOAD free MP3                              www.hulkshare.com/raceshynnerproduction


                           Mb man (Data)na shynner katika pozz mapema mwaka huu!

                                                               MB MAN
RSP pics@2013
www.hulkshare.com/raceshynnerproduction

the rock city antherm!

wale wakali wa game ya muziki wa kizazi kipya jijini mwanza, the rock city empire! wakiwa shirikisha Mo-music and Kino soo.wameachia kichupa cha ngoma yao inayo tamba hivi sasa ikijulikana kama parrty time(rock city antherm) humu ndani unakutana na vichwa kama Mo-music,tonito the shynner,last born,kino soo na Dennis love.ngoma imefanyika chini ya producer mkali sana aendae kwa jina la Mbudu touchr ktika studio ya RAV MEDIA! ebanaae  fanya kudownload audio na vidio hapa
 www.hulkshare.com/raceshynnerproduction
                                        kino soo na tonito the shynner wakiwa katika pozz,

                          mo- muzic and shynner soon baada ya kutoka uganda kikazi!

                                                         mo music and shynner

Raceshynnerproduction pics@2013
www.hulkshare.com/raceshynnerproduction

Vaa,pendeza,ndo habari ya town! kwamapacha classic tena!



 









the swaggalist boys! kwamapacha classic wamedondosha kwenu tena mzigo mpya kutoka pande zote za dunia, ni jeans,t-shirts,vest,belts,snapbacks,shati,suruali muchimuchi! mabegi yenye high quality,conves,adidas,polo,hermes ahhhhhh ntamaliza utamu namaanisha ni viatu aina zote. wanapatikana mtaa wa shinyanga hotel Rumumba,jijini mwanza.pia darajani balabala yakwenda dampo, utapata mzigo wotw wa jumla na lejaleja ebanaee vaa pendeza,
kwa mawasiliano zaidi piga simu namba:
0714500826
0764388984
kwamapacha classic, for all stars in town!



 kwa mitoko ya kiutuuzima!

                  


 

timber,
all stars,
polo,
dickers,
docks,
travoltas,
simples
snekers
arforce
vans
toms
na viatu kibaaao!


sharts za aina zote
t-shirts
kofia
mikanda
wallets
blasss
neckless
vikoti
masweta
jeans kama liu,gucci,hermes pais
,disquared, old skuls,new erra, new fashion,n.k



@raceshynner production pics